Daudi akimwandalia Sulemani wafanyakazi na vifaa vya kujenga hekalu
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Wasaidie Vijana Wafanikiwe
Daudi alijua kwamba kwa msaada wa Yehova, Sulemani angefanikiwa kukamilisha ujenzi wa hekalu (1Nya 22:5; w17.01 29 ¶8)
Daudi alimtia moyo Sulemani amtegemee Yehova na kutenda (1Nya 22:11-13)
Daudi alifanya kila kitu alichoweza ili kumsaidia Sulemani (1Nya 22:14-16; w17.01 29 ¶7; ona picha kwenye jalada)
JIULIZE, ‘Ninaweza kuwasaidiaje vijana katika kutaniko letu wapate furaha na mafanikio wanapomtumikia Yehova?’—w18.03 11-12 ¶14-15