Yosia anararua mavazi yake baada ya kusikia kitabu cha Sheria ya Yehova kikisomwa kwa sauti
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Unanufaika Kikamili Kutokana na Neno la Mungu?”
Yosia alisikiliza kwa makini Neno la Mungu (2Nya 34:18, 19; ona picha kwenye jalada)
Alijitahidi sana kuelewa maana ya mambo aliyokuwa akisikiliza (2Nya 34:21; it-1 1157 ¶4)
Alitenda kupatana na mambo aliyojifunza (2Nya 34:33; w09 6/15 10 ¶20)
JIULIZE, ‘Je, ninatenda upesi kupatana na mambo ninayojifunza kumhusu Yehova katika Neno lake, Biblia?’