Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w25 Machi uku. 32
  • Tumia Vizuri Kioo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumia Vizuri Kioo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Huona Nini Anaponitazama?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Jinsi ya Kudumisha Roho ya Kujidhabihu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Kwa Nini Maneno Yako Ni Muhimu
    Amkeni!—2011
  • Kwa Nini Ninahangaishwa Sana na Jinsi Ninavyoonekana?
    Majibu Ya Maswali 10 Ambayo Vijana Huuliza
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
w25 Machi uku. 32

DOKEZO LA KUJIFUNZA

Tumia Vizuri Kioo

Mwanafunzi Yakobo alilinganisha Biblia na kioo kinachotusaidia kuona utu wetu wa ndani. (Yak. 1:​22-25) Tunawezaje kuitumia Biblia vizuri kama kioo?

Isome kwa makini. Ikiwa tutajitazama haraka na kuondoka, huenda tukashindwa kuona tatizo kubwa tulilo nalo. Ili tuone sehemu za utu wetu wa ndani tunazopaswa kurekebisha, inafaa tuchunguze Neno la Mungu kwa kulisoma kwa makini.

Jitazame zaidi kuliko unavyowatazama wengine. Mara nyingine, tunapojitazama katika kioo tunaweza kuwaona watu wengine walio nyuma yetu na huenda tukaanza kukazia fikira kasoro zao. Vivyo hivyo, tunaweza kusoma Biblia na kuanza kufikiria kasoro ambazo wengine wanahitaji kurekebisha. Lakini hilo halitatusaidia kurekebisha kasoro zetu wenyewe.

Uwe na usawaziko. Huenda tukavunjika moyo ikiwa tutakazia fikira kupita kiasi kasoro tulizo nazo. Tunahitaji kuwa na usawaziko tunaposoma Neno la Mungu kwa kutotarajia mengi zaidi ya yale ambayo Yehova anatarajia tutimize.—Yak. 3:17.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki