Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb11 uku. 2
  • Andiko la Mwaka wa 2011

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Andiko la Mwaka wa 2011
  • 2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Mtu Fulani Anajali Kikweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • Kaa Katika “Jiji la Makimbilio” Ukaishi!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Je, Unamfanya Yehova Kuwa Kimbilio Lako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
Pata Habari Zaidi
2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb11 uku. 2

Andiko la Mwaka wa 2011

‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova.’—SEFANIA 3:12.

“Uumbaji wote unaendelea kuugua pamoja na kuwa katika maumivu pamoja mpaka sasa.” (Rom. 8:22) Maneno hayo yaliyoongozwa na roho ya Mungu ni ya hakika kabisa. Mamilioni ya watu wamekabili ukosefu wa haki, ukandamizaji, misiba ya asili, magonjwa, umaskini, vita, na uhalifu. Hata sisi tunaomtumikia Yehova tunapatwa na matatizo hayo pia. Zaidi ya hayo, tunadharauliwa, tunachukiwa, na kuteswa kama vile Yesu alivyotendewa.

Ingawa tunakabili matatizo katika ulimwengu huu wa Shetani, hatuvunjiki moyo. Badala yake, tunashangilia kujua kwamba hivi karibuni Yehova atakomesha matatizo yote ulimwenguni. Tumaini letu na imani yetu ni katika Mungu. Ndiyo, tunapata kimbilio katika Yehova, ambaye hawakatishi tamaa hata kidogo waaminifu wake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki