Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mrt makala 15
  • Nikabilianaje na Upweke?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Nikabilianaje na Upweke?
  • Habari Zaidi
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Sitawisha uhusiano wa karibu na Mungu
  • Soma masimulizi ya Biblia yanayotia moyo
  • Jifunze kwa nini mambo mabaya yanatokea ulimwenguni
  • Epuka kuwa na wasiwasi kupita kiasi
  • Sitawisha urafiki na watu
  • Fanya mazoezi ya kimwili
  • Kudumisha Urafiki Katika Ulimwengu Usio na Upendo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Mtupie Yehova Mahangaiko Yako Yote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • Waweza Kufurahia Urafiki Wenye Kudumu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Chagua Marafiki Wako kwa Hekima
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
Pata Habari Zaidi
Habari Zaidi
mrt makala 15
Mwanamke akiangalia nje ya dirisha la nyumba yake.

Nikabilianaje na Upweke?

Je, unajihisi ukiwa umetengwa au wewe ni mpweke? Ikiwa ndivyo, basi huenda ukahisi kama mtunga-zaburi alisema: “Mimi ni kama ndege aliye peke yake juu ya paa.” (Zaburi 102:7) Hekima iliyo katika Biblia inaweza kukusaidia kukabiliana na matatizo yanayosababishwa na upweke.

  • Sitawisha uhusiano wa karibu na Mungu

  • Soma masimulizi ya Biblia yanayotia moyo

  • Jifunze kwa nini mambo mabaya yanatokea ulimwenguni

  • Epuka kuwa na wasiwasi kupita kiasi

  • Sitawisha urafiki na watu

  • Fanya mazoezi ya kimwili

Sitawisha uhusiano wa karibu na Mungu

Hata ikiwa uko peke yako, unaweza kupata furaha kwa kutambua uhitaji wako wa kiroho na kujaribu kumjua Mungu. (Mathayo 5:3, 6) Unaweza kupata msaada kutoka katika vyanzo hivi bila malipo.

  • Biblia inayopatikana kwenye mtandao ambayo ni sahihi na rahisi kusoma

  • Masomo ya Biblia Kwenye Mtandao yanayojibu maswali muhimu zaidi maishani

  • Video fupi zinazohusu baadhi ya mafundisho ya msingi ya Biblia

  • “Majibu ya Maswali ya Biblia”—Ni majibu ya moja kwa moja ya maswali ambayo huulizwa mara nyingi

  • “Igeni Imani Yao”—Mfululizo huu unakusaidia kuwazia masimulizi ya maisha ya wanaume na wanawake waaminifu walio katika Biblia

  • “Je, Ni Kazi ya Ubuni?”—Mfululizo huu unakusaidia kujionea jinsi uumbaji unavyovutia na unavyostaajabisha

Soma masimulizi ya Biblia yanayotia moyo

Maandiko haya yamewasaidia watu wengi kupata faraja. Badala ya kusoma sehemu kubwa kwa wakati mmoja, jaribu kutumia muda kutafakari kuhusu masimulizi hayo na kusali.—Marko 1:35.

  • Zaburi 23:1-6

  • Zaburi 34:1-22

  • Zaburi 46:1-11

  • Zaburi 63:6-8

  • Zaburi 91:1-6

  • Mathayo 6:25-34

  • 2 Wakorintho 1:3, 4

  • Wafilipi 4:6, 7

  • 1 Petro 5:6, 7

Jifunze kwa nini mambo mabaya yanatokea ulimwenguni

Unaweza kupambana na matatizo ikiwa unajua kwa nini mambo mabaya hutokea na hatua ambazo Mungu atachukua ili kuyaondoa.—Isaya 65:17.

  • Kwa nini Mungu anaruhusu kuteseka?

  • Biblia inasema nini kuhusu magonjwa na kulinda afya zetu?

  • Ni nini ishara ya siku za mwisho?

  • Wapanda farasi wanne—jinsi wanavyokuhusu

  • Ufalme wa Mungu utatimiza nini?

Epuka kuwa na wasiwasi kupita kiasi

Makala zifuatazo zinaweza kukusaidia kukabiliana na mkazo unaosababishwa na upweke na zitakusaidia ‘kuacha kuhangaika.’—Mathayo 6:25.

  • Jinsi ya kukabiliana na mkazo

  • Kudumisha mtazamo unaofaa!

  • Mahangaiko kuhusu hatari

  • Mahangaiko kuhusu pesa

  • Mahangaiko ambayo vijana hukabili

Sitawisha urafiki na watu

Marafiki wanaweza kukusaidia kuona mambo kwa njia tofauti na kukuletea shangwe, hata katika hali ambazo inakuwa vigumu kuzungumza nao uso kwa uso. Ikiwa huwezi kutoka nyumbani, unaweza kuwasiliana nao kwa njia ya video au kwa kuwapigia simu ili kuimarisha urafiki wenu au kujenga urafiki na watu wapya. Makala zifuatazo zinaweza kukusaidia kupata na kuwa na “rafiki wa kweli.”—Methali 17:17.

  • Unawezaje kuwa rafiki mzuri?

  • Je, uongeze idadi ya marafiki wako?

  • Ufanye nini ikiwa unahisi huna marafiki?

  • Jenga urafiki kwa kuwa mkarimu

  • Jenga urafiki kwa kuwa na shukrani

Fanya mazoezi ya kimwili

Biblia inakubali kwamba “mazoezi ya kimwili ni yenye faida.” (1 Timotheo 4:8) Yanaweza kukusaidia kuwa na afya nzuri ya akili hasa ikiwa wewe ni mpweke. Hata ikiwa huwezi kutoka nyumbani, huenda unaweza kufanya mambo fulani ambayo yatakuchangamsha.

  • Fanya mazoezi

  • Sitawisha afya nzuri na ustahimilivu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki