Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mrt makala 121
  • Unaweza Kumwamini Nani?—Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Unaweza Kumwamini Nani?—Biblia Inasema Nini?
  • Habari Zaidi
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Unayeweza kumwamini
  • Kuwatumaini Wengine Ni Muhimu kwa Maisha Yenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Watu Wanaacha Kuwaamini Wanasiasa—Biblia Inasema Nini?
    Habari Zaidi
  • Yesu Atakomesha Umaskini
    Habari Zaidi
  • Unaweza Kuwatumaini Ndugu Zako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
Pata Habari Zaidi
Habari Zaidi
mrt makala 121
Picha: Watu ambao kwa kawaida wanapaswa kutumainiwa: 1. Mwanasiasa akiwa amesimama mbele ya kipaza sauti. 2. Kasisi akiwa amekuja mikono yake. 3. Mwanasayansi akiwa ameshika ubao.

Left: Olena Yefremkina/stock.adobe.com; center: lunamarina/stock.adobe.com; right: Rido/stock.adobe.com

ENDELEA KUKESHA!

Unaweza Kumtumaini Nani?—Biblia Inasema Nini?

Watu hukata tamaa wakati wale wanaopaswa kuaminika wanapoonyesha hawatumainiki. Watu wengi wameacha kuwatumaini . . .

  • viongozi wa kisiasa wanaotanguliza masilahi yao wenyewe badala ya kushughulikia mahitaji ya watu.

  • vyombo vya habari ambavyo havitoi ripoti sahihi na bila upendeleo.

  • wanasayansi ambao hawatendi mambo yanayowafaidi wengine.

  • viongozi wa dini ambao wanajihusisha sana katika siasa badala ya kumwakilisha Mungu.

Inafaa kwamba watu wanajihadhari wanamtumaini nani. Biblia inaonya hivi:

  • “Msiwategemee wakuu wa dunia; hao ni binadamu tu, hawawezi kuokoa.”​—Zaburi 146:3, Biblia Habari Njema.

Unayeweza kumwamini

 Biblia inatuambia tunaweza kumtumaini nani: Yesu Kristo. Yeye si mwanamume mzuri tu ambaye aliishi karne nyingi zilizopita. Mungu alimweka rasmi Yesu ‘atawale akiwa Mfalme na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.’ (Luka 1:32, 33) Yesu ni Mfalme wa Ufalme wa Mungu, serikali ambayo sasa inatawala mbinguni.​—Mathayo 6:10.

  • Ili ujifunze kwa nini unaweza kumtumaini Yesu, soma makala yenye kichwa “Mfalme wa Ufalme wa Mungu Ni Nani?” na “Ufalme wa Mungu Utatimiza Nini?”

Kitabu unachoweza kutumaini

Biblia inasema mengi kuhusu maisha ya Yesu na habari nyingine muhimu. Kitabu hicho muhimu kina habari nyingi zenye thamani ambazo unaweza kuamini. Ili ujichunguzie, tunakualika ujaze ombi la kupata funzo la Biblia bila malipo. Katika mtaala huo wa kujifunza Biblia utapewa machapisho ambayo utahitaji na pia utapewa mwalimu wa kukusaidia. Utajifunza Yesu ni mtu wa aina gani na pia kuhusu mambo aliyofanya, anayofanya sasa, na atakayofanya wakati ujao.

Jaribu Funzo Letu la Biblia

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki