Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 48
  • Je, Mungu Alimuumba Ibilisi Ili Atujaribu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Mungu Alimuumba Ibilisi Ili Atujaribu?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Je, Mungu Alimuumba Ibilisi?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Majibu ya Maswali ya Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Adui wa Uzima wa Milele
    Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
  • Ibilisi—Si Ushirikina Tu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 48
Malaika mwasi ageuka na kuwa Ibilisi

Je, Mungu Alimuumba Ibilisi Ili Atujaribu?

Jibu la Biblia

Biblia inaonyesha kwamba Mungu hakumuumba Ibilisi. Badala yake, Mungu aliumba kiumbe aliyegeuka na kuwa Ibilisi. Kuhusiana na Mungu, Biblia inasema: “Kazi zake ni kamilifu, kwa maana njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, ambaye hana ukosefu wowote wa haki; Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.” (Kumbukumbu la Torati 32:3-5) Kupatana na andiko hilo, tunaweza kusema kuwa mwanzoni Shetani Ibilisi alikuwa mkamilifu na mwadilifu, yaani, alikuwa mmoja wa malaika wa Mungu.

Katika Yohana 8:44, Yesu alisema kuwa Ibilisi “hakusimama imara katika kweli,” akimaanisha kuwa kuna wakati ambapo Shetani hakuwa mwongo wala mwenye hatia.

Hata hivyo, kama viumbe wengine wenye akili wa Yehova, malaika aliyegeuka kuwa Shetani alikuwa na uhuru wa kuchagua kati ya mema na mabaya. Kwa kuchagua kumpinga Mungu na kuwachochea wanadamu wawili wa kwanza wajiunge naye, alijifanya mwenyewe kuwa Shetani, jina linalomaanisha “Mpinzani.”—Mwanzo 3:1-5; Ufunuo 12:9.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki