Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 28
  • Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Yohana 14:6—“Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima”
    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa
  • Je, Tunapaswa Kusali kwa Yesu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Je, Unapaswa Kusali kwa Yesu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 28

Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?

Jibu la Biblia

Tunapaswa kusali kwa Mungu katika jina la Yesu kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ambayo Mungu ameandaa ya kumfikia. Yesu alisema: “Mimi ndiye njia na kweli na uzima. Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.” (Yohana 14:6) Yesu pia aliwaambia hivi mitume wake waaminifu: “Kwa kweli kabisa ninawaambia, Mkimwomba Baba jambo lolote atawapa katika jina langu.”—Yohana 16:23.

Sababu zaidi kwa nini tusali katika jina la Yesu

  • Tunamheshimu Yesu na Baba yake, Yehova Mungu.—Wafilipi 2:9-11.

  • Tunaonyesha kwamba tunathamini kifo cha Yesu kuwa uandalizi ambao Mungu amefanya ili tupate wokovu.—Mathayo 20:28; Matendo 4:12.

  • Tunatambua daraka la Yesu akiwa Mpatanishi, au Mwombezi, kati ya Mungu na wanadamu.—Waebrania 7:25.

  • Tunaheshimu huduma ya Yesu akiwa Kuhani Mkuu ambaye anaweza kutusaidia kuwa na uhusiano mzuri na Mungu.—Waebrania 4:14-16.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki