30 Pia, ikiwa mkono wako wa kulia unakufanya ujikwae, ukate na kuutupilia mbali.+ Kwa maana ni afadhali upoteze kiungo kimoja kuliko mwili wako wote utupwe katika Gehena.*+
30 Pia, mkono wako wa kuume ukikufanya ukwazike, ukate na kuutupilia mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote uanguke ndani ya Gehena.*