18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala fulani aliyekuwa amekaribia, akaja na kumsujudia* akisema: “Kufikia sasa binti yangu atakuwa amekufa; lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+
18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+