Mathayo 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema; Mathayo 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu; Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:36 Yesu—Njia, uku. 104
36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema;
36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;