Mathayo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo maana ninazungumza nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.+ Mathayo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+ Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:13 Mnara wa Mlinzi,4/1/1987, uku. 8
13 Ndiyo maana ninazungumza nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.+
13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+