17 Kwa kweli ninawaambia, manabii wengi na watu waadilifu walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.
17 Kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Manabii+ wengi na watu waadilifu walitamani kuyaona mambo mnayoyaona wala hawakuyaona,+ na kuyasikia mambo mnayoyasikia wala hawakuyasikia.+