22 Na tazama! mwanamke fulani Mfoinike kutoka eneo hilo akamjia, akapaza sauti: “Nihurumie,* Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa kikatili na roho mwovu.”+
22 Na, tazama! mwanamke Mfoinike+ kutoka katika maeneo hayo akatoka na kupaaza sauti kubwa, akisema: “Uwe na rehema juu yangu,+ Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa sana na roho mwovu.”