19 Tena kwa kweli ninawaambia, wawili kati yenu duniani wakikubaliana kuomba jambo lolote muhimu, litatendeka kwa ajili yao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+
19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+