17 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniuliza kuhusu mambo mema? Kuna Mmoja tu aliye mwema.+ Hata hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+
17 Akamwambia: “Kwa nini unaniuliza juu ya lililo jema?+ Kuna mmoja tu aliye mwema. Ingawa hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+