15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoona mambo ya kustaajabisha aliyofanya na pia wavulana waliokuwa wakipaza sauti hekaluni wakisema: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!”+ wakakasirika+
15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona mambo ya kustaajabisha aliyofanya+ na wale wavulana waliokuwa wakipaaza sauti katika hekalu na kusema: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!”+ wakaghadhibika