13 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia watu Ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi wenyewe hamwingii, na mnawazuia wale wanaotaka kuingia.+
13 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia+ watu ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi+ wenyewe hamwingii, wala hamwaruhusu wale wanaoenda huko waingie.