Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akawaambia: “Je, mnaona vitu hivi vyote? Kwa kweli ninawaambia, hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+ Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+ Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:2 Mnara wa Mlinzi,10/1/1988, uku. 3
2 Akawaambia: “Je, mnaona vitu hivi vyote? Kwa kweli ninawaambia, hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+
2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+