Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 13:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi mawe na majengo haya yalivyo maridadi!”+ 2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa? Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+

  • Luka 19:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.”

  • Luka 21:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema jinsi hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+ 6 akawaambia: “Vitu hivi mnavyoona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki