13Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi mawe na majengo haya yalivyo maridadi!”+2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa? Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.”
5 Baadaye, watu fulani walipokuwa wakisema jinsi hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na vitu vilivyowekwa wakfu,+6 akawaambia: “Vitu hivi mnavyoona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+