Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu. Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akawaambia: “Je, mnaona vitu hivi vyote? Kwa kweli ninawaambia, hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+ Luka 19:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.” Luka 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 akawaambia: “Vitu hivi mnavyoona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+
31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.
2 Akawaambia: “Je, mnaona vitu hivi vyote? Kwa kweli ninawaambia, hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe lingine,+ kwa sababu hukutambua wakati wa kukaguliwa kwako.”
6 akawaambia: “Vitu hivi mnavyoona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+