31 Kisha atawatuma malaika zake pamoja na sauti kubwa ya tarumbeta, nao watawakusanya watu wake waliochaguliwa kutoka kwenye zile pepo nne za dunia, kuanzia mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine.+
31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.