54 Lakini yule ofisa wa jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na mambo yaliyokuwa yakitokea, wakaogopa sana na kusema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+
54 Lakini yule ofisa-jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoona tetemeko la nchi na mambo yaliyokuwa yakitendeka, wakaogopa sana, wakisema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+