Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+ Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+ Marko Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:19 w12 8/1 20 Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:19 Mnara wa Mlinzi,8/1/2012, uku. 20
19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+
19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+