26 Jinsi katika simulizi kuhusu mkuu wa makuhani Abiathari,+ Daudi alivyoingia katika nyumba ya Mungu na kula mikate ya toleo,* ambayo si halali kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani,+ naye akawapa pia watu waliokuwa pamoja naye?”
26 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu, katika lile simulizi juu ya Abiathari+ mkuu wa makuhani, akala mikate ya toleo,+ ambayo si halali+ kwa mtu yeyote kula ila makuhani, naye akawapa wale watu waliokuwa pamoja naye sehemu yake pia?”+