19 Hata hivyo, hakumruhusu, bali alimwambia: “Nenda nyumbani kwa watu wako wa ukoo, ukawaambie mambo yote ambayo Yehova* amekufanyia na jinsi alivyokuonyesha rehema.”
19 Hata hivyo, hakumruhusu, bali alimwambia: “Nenda nyumbani kwa watu wa jamaa yako,+ ukawaambie mambo yote ambayo Yehova+ amekufanyia na jinsi alivyokuonyesha rehema.”+