31 Naye akawaambia: “Twendeni faraghani mahali pasipo na watu ili mpumzike kidogo.”+ Kwa maana wengi walikuwa wakija na kwenda, nao hawakuwa na wakati hata wa kula.
31 Naye akawaambia: “Njooni, ninyi wenyewe, faraghani katika mahali pasipo na watu+ mpumzike kidogo.”+ Kwa maana watu walikuwa wakija na kwenda, nao hawakuwa hata na wakati wa kula mlo.+