4 na wanapotoka sokoni, hawali chakula kabla ya kujisafisha. Kuna mapokeo mengine mengi ambayo wamepokea na kuyashika, kama vile kubatiza* vikombe, mitungi, na vyombo vya shaba.)+
4 na, wanaporudi kutoka sokoni, hawali chakula isipokuwa wawe wamejisafisha kwa kunyunyiza; na kuna mapokeo+ mengine mengi ambayo wamepokea ili kushika sana, ubatizo wa vikombe na mitungi na vyombo vya shaba;+—