25 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnasafisha upande wa nje wa kikombe na wa sahani,+ lakini ndani vimejaa pupa*+ na kutojizuia.+
38 Hata hivyo, Farisayo huyo akashangaa kuona kwamba Yesu hakunawa* kabla ya kula.+39 Lakini Bwana akamwambia: “Ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini ndani yenu mmejaa pupa na uovu.+