33 Yesu akageuka na kuwatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akisema: “Nenda nyuma yangu, Shetani! kwa sababu hufikirii mawazo ya Mungu, bali ya wanadamu.”+
33 Akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, na kusema: “Nenda nyuma yangu, Shetani, kwa sababu wewe unafikiri, si fikira za Mungu, bali za wanadamu.”+