23 Lakini akamgeuzia mgongo wake, akamwambia Petro: “Nenda nyuma yangu, Shetani!+ Wewe ni kikwazo kwangu, kwa sababu wewe unafikiri, si fikira za Mungu,+ bali za wanadamu.”
7 kwa sababu kukaza akili juu ya mwili humaanisha uadui+ na Mungu, kwa maana mwili haujitiishi+ chini ya sheria ya Mungu, nao kwa kweli hauwezi kujitiisha.