34 Sasa akauita umati na wanafunzi wake, akawaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, aubebe mti wake wa mateso* na aendelee kunifuata.+
34 Basi akauita umati pamoja na wanafunzi wake na kuwaambia: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+