17 Alipokuwa akiondoka, mwanamume fulani akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, ninapaswa kufanya nini ili niurithi uzima wa milele?”+
17 Naye alipokuwa akitoka aende, mtu fulani akamkimbilia akapiga magoti mbele yake na kumuuliza: “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”+