Mathayo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa tazama! mtu fulani akamjia na kumuuliza: “Mwalimu, ninapaswa kufanya mambo gani mema ili nipate uzima wa milele?”+ Luka 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtawala fulani akamuuliza: “Mwalimu Mwema, ninapaswa kufanya nini ili niurithi uzima wa milele?”+
16 Sasa tazama! mtu fulani akamjia na kumuuliza: “Mwalimu, ninapaswa kufanya mambo gani mema ili nipate uzima wa milele?”+