11 Akaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni, akatazama vitu vyote huku na huku, lakini kwa kuwa muda ulikuwa umesonga sana, akaenda Bethania pamoja na wale 12.+
11 Naye akaingia Yerusalemu, katika hekalu; naye akatazama vitu vyote huku na huku, na, kwa kuwa saa ilikuwa tayari imesonga, akatoka kwenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili.+