Marko 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Basi jifunzeni mfano huu kutokana na mtini: Mara tu matawi yake machanga yanapokuwa laini na kuchipua majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.+ Marko 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Basi kutokana na mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani yake, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:28 Yesu—Njia, kur. 258-259 Mnara wa Mlinzi,4/1/1990, uku. 25
28 “Basi jifunzeni mfano huu kutokana na mtini: Mara tu matawi yake machanga yanapokuwa laini na kuchipua majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.+
28 “Basi kutokana na mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani yake, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+