12 Sasa siku ya kwanza ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ wakati ambapo walikuwa na desturi ya kutoa dhabihu ya Pasaka,+ wanafunzi wake wakamwuliza: “Unataka twende tukutayarishie wapi mlo wa Pasaka?”+
12 Sasa siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu,+ wakati ambapo kidesturi walichinja mnyama wa pasaka, wanafunzi+ wake wakamwambia: “Unataka twende wapi tukakutayarishie ule pasaka?”+