Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waisraeli wanapaswa kutayarisha dhabihu ya Pasaka+ wakati wake uliopangwa.+

  • Mathayo 26:17-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Siku ya kwanza ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ wanafunzi wakaja kumuuliza Yesu: “Unataka tukutayarishie wapi mlo wa Pasaka?”+ 18 Akawaambia: “Nendeni jijini kwa mwanamume fulani mkamwambie, ‘Mwalimu anasema: “Wakati wangu uliowekwa umekaribia; nitasherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani kwako.”’” 19 Basi, wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki