41 Akarudi mara ya tatu akawaambia: “Mnalala na kupumzika wakati kama huu! Imetosha! Saa imefika!+ Tazama! Mwana wa binadamu anasalitiwa mikononi mwa watenda dhambi.
41 Naye akaja mara ya tatu na kuwaambia: “Wakati kama huu ninyi mnalala usingizi na kupumzika! Inatosha! Saa imekuja!+ Tazama! Mwana wa binadamu anasalitiwa na kutiwa katika mikono ya watenda-dhambi.+