Marko 14:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Lakini akakaa kimya na hakujibu.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza: “Je, wewe ndiye Kristo Mwana wa Yule Mbarikiwa?” Marko 14:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Lakini akaendelea kukaa kimya na hakutoa jibu hata kidogo.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza na kumwambia: “Wewe ndiye Kristo Mwana wa yule Mbarikiwa?”+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:61 Yesu—Njia, uku. 287 Mnara wa Mlinzi,11/1/1990, uku. 8
61 Lakini akakaa kimya na hakujibu.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza: “Je, wewe ndiye Kristo Mwana wa Yule Mbarikiwa?”
61 Lakini akaendelea kukaa kimya na hakutoa jibu hata kidogo.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza na kumwambia: “Wewe ndiye Kristo Mwana wa yule Mbarikiwa?”+