Luka 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya malaika kurudi mbinguni, wachungaji wakaanza kuambiana: “Twendeni Bethlehemu tukaone jambo hili ambalo Yehova* ametujulisha.” Luka 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo malaika walipokuwa wameondoka na kuingia mbinguni, wachungaji wakaanza kusemezana: “Na twende moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukaone jambo hili ambalo limetendeka, ambalo Yehova+ ametujulisha.” 1. Nuru ya Kweli ya Ulimwengu Habari Njema Kulingana na Yesu—Mwongozo wa Marejeo ya Video Wachungaji wanaenda kwenye hori (gnj 1 41:41–43:53)
15 Baada ya malaika kurudi mbinguni, wachungaji wakaanza kuambiana: “Twendeni Bethlehemu tukaone jambo hili ambalo Yehova* ametujulisha.”
15 Kwa hiyo malaika walipokuwa wameondoka na kuingia mbinguni, wachungaji wakaanza kusemezana: “Na twende moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukaone jambo hili ambalo limetendeka, ambalo Yehova+ ametujulisha.”