Luka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya siku nane, wakati ulipofika wa kumtahiri,+ wakampa jina Yesu, jina alilopewa na malaika kabla ya Maria kupata mimba.+ Luka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+ 1. Nuru ya Kweli ya Ulimwengu Habari Njema Kulingana na Yesu—Mwongozo wa Marejeo ya Video Yesu anatolewa kwa Yehova hekaluni (gnj 1 43:56–45:02)
21 Baada ya siku nane, wakati ulipofika wa kumtahiri,+ wakampa jina Yesu, jina alilopewa na malaika kabla ya Maria kupata mimba.+
21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+