34 Pia, Simeoni akawabariki na kumwambia Maria, mama ya yule mtoto: “Tazama! Mtoto huyu amewekwa rasmi kwa ajili ya kuanguka+ na kuinuka tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+
34 Pia, Simeoni akawabariki wao, lakini akamwambia Maria mama yake: “Tazama! Huyu amewekwa kwa ajili ya kuanguka+ na kusimama tena kwa wengi katika Israeli+ na kuwa ishara itakayosemwa vibaya+