30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwalalamikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+
30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+