9 Yesu aliposikia maneno hayo alishangazwa naye, akaugeukia umati uliokuwa ukimfuata na kusema: “Ninawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa kama hii.”+
9 Basi, Yesu aliposikia mambo hayo alimstaajabia, naye akaugeukia umati uliomfuata na kusema: “Ninawaambia ninyi, Hata katika Israeli sijapata imani kubwa kama hii.”+