Mathayo 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aliposikia hilo, Yesu akashangaa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata: “Ninawaambia ninyi kweli, Sijapata yeyote katika Israeli mwenye imani kubwa kama hii.+ Waroma 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+ Waroma 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+
10 Aliposikia hilo, Yesu akashangaa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata: “Ninawaambia ninyi kweli, Sijapata yeyote katika Israeli mwenye imani kubwa kama hii.+
2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+
4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+