28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+
9 Basi, Yesu aliposikia mambo hayo alimstaajabia, naye akaugeukia umati uliomfuata na kusema: “Ninawaambia ninyi, Hata katika Israeli sijapata imani kubwa kama hii.”+