24 Kwa maana ninawaambia, manabii na wafalme wengi walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.”
24 Kwa maana ninawaambia ninyi, Manabii na wafalme wengi walitamani kuyaona+ mambo ambayo ninyi mnayaona lakini hawakuyaona, na kuyasikia mambo ambayo ninyi mnayasikia lakini hawakuyasikia.”