24 “Roho mwovu anapomtoka mtu, yeye hupitia maeneo yasiyo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini anapokosa yeye husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama.’+
24 “Wakati roho mchafu anapomtoka mtu, hupita katika mahali palipokauka akitafuta mahali pa kupumzika, na, baada ya kukosa, husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama.’+