Luka 11:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Lakini Bwana akamwambia: “Ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini ndani yenu mmejaa pupa na uovu.+ Luka 11:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Lakini Bwana akamwambia: “Sasa ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini upande wenu wa ndani+ umejaa uporaji na uovu.+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:39 Yesu—Njia, uku. 178 Mnara wa Mlinzi,9/1/1988, uku. 24
39 Lakini Bwana akamwambia: “Ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini ndani yenu mmejaa pupa na uovu.+
39 Lakini Bwana akamwambia: “Sasa ninyi Mafarisayo, husafisha upande wa nje wa kikombe na sahani, lakini upande wenu wa ndani+ umejaa uporaji na uovu.+